tag:blogger.com,1999:blog-6079942217619449368.post6400150023872750222..comments2022-03-04T01:29:37.115+00:00Comments on MWENYE MACHO...: KAZI NA DAWABob Sankofahttp://www.blogger.com/profile/15161750279019370878noreply@blogger.comBlogger7125tag:blogger.com,1999:blog-6079942217619449368.post-16108624048641372852007-06-20T06:58:00.000+00:002007-06-20T06:58:00.000+00:00Nashukuru kwa kuweka kiunganishi cha blogu hii kwe...Nashukuru kwa kuweka kiunganishi cha blogu hii kwenye blogu yako, nami nitarejesha fadhila muda si mfupi.<BR/><BR/>Nashukuru pia kwa wazo la kukuza picha. Ila ukibofya hapo kwenye picha itakupeleka kwenye ukurasa amabo unakuapa ukubwa wa picha halishi.<BR/><BR/>Nina mpango wa kuanza kupandisha na video pia muda si mfupi.Bob Sankofahttps://www.blogger.com/profile/15161750279019370878noreply@blogger.comtag:blogger.com,1999:blog-6079942217619449368.post-86203886637048532892007-06-20T06:57:00.000+00:002007-06-20T06:57:00.000+00:00Nashukuru kwa kuweka kiunganishi cha blogu hii kwe...Nashukuru kwa kuweka kiunganishi cha blogu hii kwenye blogu yako, nami nitarejesha fadhila muda si mfupi.<BR/><BR/>Nashukuru pia kwa wazo la kukuza picha. Ila ukibofya hapo kwenye picha itakupeleka kwenye ukurasa amabo unakuapa ukubwa wa picha halishi.<BR/><BR/>Nina mpango wa kuanza kupandisha na video pia muda si mfupi.Bob Sankofahttps://www.blogger.com/profile/15161750279019370878noreply@blogger.comtag:blogger.com,1999:blog-6079942217619449368.post-69039615908823168822007-06-19T15:25:00.000+00:002007-06-19T15:25:00.000+00:00Sankofa, mie siyo bwana picha! Takriban miaka 16 i...Sankofa, mie siyo bwana picha! Takriban miaka 16 iloyopita, ilikuwa hobby yangu, lakini siku hizi sina hamu sana. <BR/><BR/>Nilipenda picha yako. Ulivutiwa na mwanga mezani. Na sisi tulivutiwa na picha. <BR/><BR/>Napendekeza picha zako ziwe kubwa zaidi kwenye blogu. <BR/><BR/>Pia, niliweka blog yako kwa 'blogroll' yangu. Kwa sababu sisi wawili tulianza hivi karibuni, pia nilipenda taarifa zako zaAnonymousnoreply@blogger.comtag:blogger.com,1999:blog-6079942217619449368.post-34427618923948744402007-06-19T13:13:00.000+00:002007-06-19T13:13:00.000+00:00Kaka Kifimbocheza wewe pia unapiga Picha? Tafadhal...Kaka Kifimbocheza wewe pia unapiga Picha? Tafadhali tuzidi kushirikiana maujuzi.<BR/><BR/>Kaka Luihamu nafikiri inawezekana kuwa tarakilishi yako haikuwa na mwanga. Jaribu kuongeza brightness halafu punguza kidogo contrast.<BR/><BR/>Kaka Mwandani, kaka Paul amepokea salamu. Anasema hiyo siku mlikutana Delhi kuna jambo hukutaka kabisa kumuamini japo alikuapia kabisa. Sijui ilikuwa nini ila Bob Sankofahttps://www.blogger.com/profile/15161750279019370878noreply@blogger.comtag:blogger.com,1999:blog-6079942217619449368.post-88760136855564153062007-06-19T10:50:00.000+00:002007-06-19T10:50:00.000+00:00Naomba kufikisha salamu kwa Paul... mara ya mwisho...Naomba kufikisha salamu kwa Paul... mara ya mwisho New Delhi miaka ileee... sitasahau vichupa vya rangi ulivyoninunulia...sanaa idumu. Joemwandanihttps://www.blogger.com/profile/17221079814940079302noreply@blogger.comtag:blogger.com,1999:blog-6079942217619449368.post-39322005949870625082007-06-17T12:07:00.000+00:002007-06-17T12:07:00.000+00:00Kaka badilisha TEMPLATE yako kisha weka picha za b...Kaka badilisha TEMPLATE yako kisha weka picha za black and white la sivyo wengine hatuoni kabisa kama hii picha naona mwanga tu.<BR/><BR/>Nuff Nuff Respect.luihamuhttps://www.blogger.com/profile/06284769312694486021noreply@blogger.comtag:blogger.com,1999:blog-6079942217619449368.post-64349948693772797362007-06-16T18:26:00.000+00:002007-06-16T18:26:00.000+00:00ndugu Mwenye Macho, mimi napenda sana black and wh...ndugu Mwenye Macho, mimi napenda sana black and white. Inaonyesha wazi umuhimu ya giza na ya mwanga pia.<BR/><BR/>Asante kwa taarifa zako kutoka kwa TED.Anonymousnoreply@blogger.com