Haina noma sana lakini kwani ametuhakikishia kuwa hata kama ni kuikosa TED basi itakuwa kwa siku hii ya kwanza tu.
Watu ni lukuki hapa. Na kila mtu anaongea lugha fulani ambayo kwa namna fulani inahusihwa na tarakilishi (kompyuta), usipime mjomba.
Ahh! Hata Jane Godoll yupo. Nataka sana nipige nae picha aisee ila kila nikijisogeza kuna mtu anamuwahi. Bibi maarufu sana huyu. Atatoa mada kesho kuhusu sokwe na nyumba yao inayotoweka (msitu)
No comments:
Post a Comment