www.mwenyemacho.blogspot.com imezaliwa pia na imepatiwa nyenzo ya kuifanya iwe bora zaidi, laptop (Mac Book Pro) ya bure toka Google. Pamoja na radio ya Satelite ambayo itaiwezesha Mwenye Macho kupata habari kadha wa kadha na kuzitupa kwenye blogu hii. Kaa mkao wa kula.
Wosia wangu kwa watanzania ni kuwa tujitahidi kuhudhuria semeina au workshop au mkutano japo mmoja kwa mwaka. Kwani huwezi kujua kuwa utakutana na nani na utafungua milango gani katika masha yako.
Nimesikitishwa na kitu kimoja, mkutano umefanyika Tanzania laki
Hata Watanzania waliohudhuria mkutano huu ni wa kuhesabu. Tujitahidi wakati mwingine na tuendelee kublogu kwa nguvu zote.
Naelekea nyumbani sasa. Nilikuja kwenye mkutano lakini nina kiporo
6 comments:
Kazi murua Sankofa,
Twendeni tukalijenge taifa,tusije kuwa kama wale...
Jeff nakushukuru sana kwa kutembelea blogu hii changa. Tafadhali isambaze kwa wadau wengine huko ughaibuni
Swafi sana. Umetuhabarisha vizuri... Ilikuwa kama niko hapo mkutanoni.
nakuomba usichoke, endelea kutuletea na mambo mengine mengi baada ya mkutano.
Nimeipenda blogu yako kaka. Hongera kwa kazi nzuri ya kutuhabarisha yaliyojiri TED.
Nilifurahi kukutana nawe katika mkutano wa TED.
My swahili is defective as you may know, so i will revert back to my usual staple to say Thank you! It was great meeting you. Go Cheetahs!
Nawashukuruni sana kwa kutembelea blogu hii. Nitazidi kuhabarisha kila ninapopata kitu fulani.
PICHA MOJA HUZUNGUMZA MANENO ALFU MOJA!
Post a Comment