Wednesday, June 6, 2007

KUTANA NA ORY

Ory Okolloh, dada wa Kikenya huyu. Anaishi Cape-Town, Afrika Kusini. Yeye ni mwanablog, mwanasheria na mwanaharakati. Ni mmoja wa watu walionipa msukumo mkubwa wa kuingia kwenye mambo ya blog. Fikiri mtu anakaa nje ya Kenya lakini ukiingia kwenye blogu yake utadhani anakaa Nairobi. Mchango wake ni mkubwa kuliko hata watu wanaokaa Kenya. Tafadhali ungana nami kumshukuru kwa kutembelea blogu yake ya www.kenyanpundit.com

No comments: