Friday, June 29, 2007

MAMBO YA VIVULI


Huyu ni Rokia Traore, mwanamuziki toka Mali, na bendi yake. Walikuwa wakitumbuiza kwenye mkutano wa TEDGlobal pale Arusha. Sasa wakati watu wote walielekeza macho yao kwenye jukwaa, kamera yangu ikaking'amua kivuli hiki kwenye ukuta, pembeni kidogo ya jukwaa. Picha hii nimeichezea kidogo kwenye Photoshop.

No comments: