Friday, June 29, 2007

UPWEKE


Kuna siku mtu unaweza ukaamka usijue unatakiwa kufanya nini. Hii ilinikuta siku ya Jumamosi ya tarehe 23/6/2007. Basi nikazama jikoni na kujitengenezea kikombe cha chai ili kupitisha muda. Basi wakati nimekiweka kikombe hiki mezani huku nikiendelea kuwaza na kuwazua nifanye kitu gani jumamosi ile nikavutiwa na upweke wa kikombe hiki cha chai ya mkono mmoja. Fasta nikaiwahi kamera yangu na kubaruza foto hii.

No comments: